HYAC

Attack with Style, Defend with Heart

Friday 29 November 2013

EDNA KIPLAGAT KUSHIRIKI UHURU MARATHON DESEMBA 8



http://dt9guucc6nuua.cloudfront.net/media/LargeP/6e9475ea-87f8-4530-8848-e169b907562a.jpg?v=-1170362114
UHURU MARATHON inatarajiwa kufanyika Desemba 8, 2013 Jijini Dar es Salaam. Wanariadha mbalimbali nchini na nje ya nchi wanatarajiwa kushiriki akiwemo Edna Kiplagat ambaye ni Bingwa wa Dunia wa Michuano ya IAAF ya mwaka 2011 na 2013.
Edna Kiplagat ataungana na wakimbiaji wengine 16 kutoka nchini Kenya.

Holili Youth Athletics Club ya Mkoani Kilimanjaro ni klabu pekee nchini Tanzania yenye mzigo na wakimbiaji wa riadha hapa nchini nayo itapeleka wanaridha katika michuano hiyo.

Itakumbukwa kwamba Edna Kiplagat alishiriki mbio za Los Angeles na New York City mwaka 2010.

CHANZO: JAIZMELALEO

No comments:

Post a Comment