HYAC

Attack with Style, Defend with Heart

Monday 26 January 2015

UNGA MKONO JUHUDI ZA KUINUA RIADHA NCHINI



 Genandi Rwezaura, Caren Rwezaura na Geoffrey wakiwa Holili, Kilimanjaro


Sasa ni umri wa kwenda shule, watoto hawa wanahitaji matunzo mazuri ili matarajio yao yawe kamili hapo baadaye; tunawategemea sana katika kuinua riadha siku zijazo. 

Unga mkono juhudi za kuinua riadha nchini Tanzania kwa kuwa miongoni mwa watu wanaohamasisha jamii, kuwekeza katika mashule ili kupata vipaji vilivyokomaa kwa ajili ya kuung’arisha mchezo wa riadha kimataifa.

Klabu ya Riadha ya Holili Youth (HYAC) ni miongoni mwa wadau muhimu wanaoinua riadha nchini Tanzania.

No comments:

Post a Comment