HYAC

Attack with Style, Defend with Heart

Tuesday 13 May 2014

BOLT KUKIMBIA AGOSTI 28, IAAF DIAMOND LEAGUE



Mwanadamu mwenye kasi kuliko wote kwa sasa Usain Bolt tena nchini Uswisi katika michuano ya IAAF Diamond League Agosti 28 mwaka huu.

Waratibu wa michuano hiyo walisema wanayo furaha kuutangazia umma kuwa IAAF Diamond League itafanyika katika uwanja mpya wenye njia za kisasa wa Letzirung nchini humo.
Waliongeza kusema tiketi zimeanza kuuzwa leo Mei 13.
Swiss athletics fans will be enjoying an action-packed summer this year. Eleven days after the European Athletics Championships Zürich 2014 (12 – 17 August), Letzigrund Stadium will be the venue for yet another highlight of the season: Weltklasse Zürich 2014 (28 August).

The traditional gathering of the world’s athletics superstars will once again feature Usain Bolt. The fastest man of the world has already confirmed his appearance at the IAAF Diamond League final event. “I always look forward to running in Zurich,” said the six-time Olympic champion and triple world record holder. “The event is always extremely well organised. 

The atmosphere at Letzigrund Stadium is unique, and the crowd is world-class.” Bolt will run for the seventh time in Zürich and again lead a field of the world’s best athletes.

No comments:

Post a Comment