HYAC

Attack with Style, Defend with Heart

Tuesday 15 July 2014

RAIS KIKWETE AKABIDHI BENDERA, TIMU YA TAIFA, JUMUIYA YA MADOLA



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi bendera ya taifa kwa Suleiman Kidunda mkuu wa msafara wa timu itakayokwenda Jumuiya ya Madola Julai 16, mwaka huu; katikati ni Muharami Mchume.

Mwenyekiti wa TOC, Filbert Bayi akizungumza jambo.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza jambo.
Rais Kikwete akikagua Uwanja wa Taifa
Rais Kikwete katika picha ya pamoja

CHANZO: FRANCIS DANDE

No comments:

Post a Comment