HYAC

Attack with Style, Defend with Heart

Monday 10 February 2014

MKE WA WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI AHUDHURIA RIADHA HARD TALK 2014



Riadha Hard Talk 2014 imefanyika huku ikiwa na kumbukumbu ya washiriki kutoa michango yenye kujenga riadha nchini Tanzania.

MAGGIE MLENGEYA
Miongoni mwao ni mke wa Waziri Maggie Mlengeya Kamani aliyekuwepo katika mjadala huo muhimu.



 SAMWEL TUPA, KOCHA WA KWANZA RIADHA NCHINI TANZANIA AKICHANGIA MJADALA HUO

BI. MAGGIE MLENGEYA AKIHOJIWA NA MWANDISHI HABARI BAHATI NYAKIRARIA



BI. MAGGIE MLENGEYA KATIKA VIWANJA VYA MOSHI CLUB

BI MAGGIE MLENGEYA NI MWANDAAJI WA SERENGETI MARATHON 2014 KUHUSU HILO TUTAKULETEA MAKALA IJAYO KUHUSU SERENGETI MARATHON 2014 NA NJIA ZAKE.

No comments:

Post a Comment