HYAC

Attack with Style, Defend with Heart

Thursday 27 February 2014

RT YAIPONGEZA HYAC KWA "RIADHA HARD TALK 2014"



HOLILI YOUTH ATHLETICS CLUB IMEPEWA PONGEZI NA CHAMA CHA RIADHA NCHINI TANZANIA KWA KUENDESHA MDAHALO WA WAZI FEBRUARI 9, 2014 ULIPEWA JINA LA " RIADHA HARD TALK 2014"
Barua ya RT Kumb. Na. RT/Vol.4/13/SNM/53
Hata hivyo katika barua hiyo iliyotolewa na Katibu Mkuu wa RT Suleiman Nyambui ilitoa wito wa kufanyika kikanda nchi nzima ili kukuza uelewa wa mchezo wa riadha

No comments:

Post a Comment